Recent content by Madammerry

  1. M

    ⚡ Usiku wa Kiza… na Mwisho wa “Black Cobra”

    Katika mitaa ya Dar es Salaam kulikuwa na jina lililotajwa sana na kusikika masikioni mwa watu, sana sana ukanda wa Tabata — Black Cobra. Jambazi aliyekuwa anaogopwa. Aliingia kimya, akatoweka kama kivuli. Watu wengi waliwahi kuibiwa, wengine kujeruhiwa. Hakuwahi kuacha ushahidi. Lakini usiku...
Back
Top Bottom