Katika mitaa ya Dar es Salaam kulikuwa na jina lililotajwa sana na kusikika masikioni mwa watu, sana sana ukanda wa Tabata — Black Cobra.
Jambazi aliyekuwa anaogopwa. Aliingia kimya, akatoweka kama kivuli. Watu wengi waliwahi kuibiwa, wengine kujeruhiwa. Hakuwahi kuacha ushahidi.
Lakini usiku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.