Unafanya written exam kwa 10mins HC then mnawekwa kipanel iwe kuna wa HC na COA..zingatia Muda maana kuna batch ya asubuh na ya mchana.beba vyeti yako vyote original
Maswali km umeenda law xkul utayamudu cz ni how to serve a summons.. Na hizo territory jurisdiction etc confidence yako ndo itakuokoa kuwa smart opened unajua ethnic za mwanasheria
Unafanya written exam kwa 10mins HC then mnawekwa kipanel iwe kuna wa HC na COA..zingatia Muda maana kuna batch ya asubuh na ya mchana.beba vyeti yako vyote original
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.