Recent content by Mack david

  1. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Wale watu wa forest gurd mambo ni moto
  2. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Tupo tuliotuma maombi ya forest gurd mwezi wa 8 mpaka leo kimya upande wa mwanza tfs na Dodoma na kibaha sector ya mali asili ni changamoto kuita watu usahili inaenda miezi minne na bado kimya
  3. M

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    Jku yani jeshi la kujenga uchumi wamefanya usahili juzi wa jwtz kwaajiri ya kwenda kiangaiko kozi ambayo itaanza january
  4. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Juzi jku yaani jeshi la kujenga uchumi wamefanya usahili wa jwtz kwaajiri ya kozi mpya itakayokuwa january kiangaiko
  5. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kuingia jwtz saizi kunaitaji connection ya hali ya juu sana maana hata ukiwa jkt na huna mbanga ni ngumu kuna raia wanatoka mtaani wanaenda kiangaiko sifa mifumo aijalishi wew ni wa mtaani au jkt jeshi limekua la kupiganisha now day
  6. M

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    Ambae amewai kufanya usahili wa polisi upande wa fani ya driving pale dar e s salaam usahili inakuaje kwa fani ya udereva naomba ronja wadau
  7. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kwa ambae alishawahi kufanya usahili wa driving kwa certificate ya basic driving kule dar huwa usahili unakuaje ndugu zangu
  8. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Maanisha kwa upande wa fani ya certificate ya driving usahili dar unakuaje kwa upande wa fani ya driving
  9. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Mbona member mpo kimya nimeona kujua aliwahi kufanya usahili wa polisi kwa upande wa madereva usahili unakuaje
  10. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Jamani waliofanya usahili wa polisi upande wa madereva tupeane misaada usahili inakuaje na ili utoboe upande vya fani ya udereva tupeni ronja mliowaifanya
  11. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    hahahahahaha wajuba amjakata jwtz tamaa ajira toka wa tatu waite watu saizi zilikua siasa hili raia wajue jeshi linaajiri kumbe mtoto wa maskini kupata ajira ya jeshi ukaombe kwa raisi bila hvo ndgu zako wawe maconol au mameja pale ngome
  12. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    kiukweli ajira za jwtz mpaka sasa walitumia siasa kudanganya watu ajira za mwezz kiukweli mpaka sasa ajira za jwtz zilitangazwa kisiasa kudanganya watanzani ila hii tabia ya jwtz waliopo ni watu wanajionaje wanatangaza ajira mwisho kimya wakat watoto wa maskin walifunga safari hadi ngome...
  13. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    jamani jwtz mbona wamekua waongo sahili zao zinakua za uongo kuanzia op makao watu ni mwendo wa msg tu yani wakatangaza ajira ila kunawachache wakapigiwa cm walopiganisha kunawatu wametumia nauli kutoka mikoa mbalimbali had kwenda makao ya jeshi lakini mpaka sasa kimya watu wamejibana kuwapa...
  14. M

    JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    wazee wa jwtz ndo ngumi ishakua sukunyo wazee wa kutuma maombi toka mwezi wa 3
Back
Top Bottom