Kwa kweli Mimi mwenyewe hii inanikuta sana, mfano Kuna moment naweza kaa hata masaa 15 sijawasiliana na demu wangu, but Cha kushangaza unakuta ile nashika simu, naandika jina lake "Y mambo",ajabu ni kwamba muda ule ule, Yani sekunde ile ile, me natuma text na yake inaingia kwangu, tena maneno ni...
Wakuu, katika harakati zetu sisi vijana, hasa upande wa kibiashara, je, ubunifu wa kutengeneza matangazo una athari zozote katika maendeleo ya biashara zetu?
Kwa mfano, unakuta baadhi ya watu huweka matangazo yenye vichekesho, na baadhi yao huweza kuvutia wateja na kuwafanya wapendezwe na...
Wakuu, katika harakati zetu sisi vijana, hasa upande wa kibiashara, je, ubunifu wa kutengeneza matangazo una athari zozote katika maendeleo ya biashara zetu?
Kwa mfano, unakuta baadhi ya watu huweka matangazo yenye vichekesho, na baadhi yao huweza kuvutia wateja na kuwafanya wapendezwe na...
Mkuu kama umeshindwa kusoma vizuri hii thread na hujaielewa vizuri naomba uje pm mkuu nikutumie pdf nililoandikiwa na AI, sisi hatunaga muda wa kupamba mwandiko mkuu, ukitaka mwandiko mzuri kaangalie CV yako ya kuombea kazi pale Twiga cement kama mlinzi mwandamizi
Mkuu kama umeshindwa kusoma vizuri hii thread na hujaielewa vizuri naomba uje pm mkuu nikutumie pdf nililoandikiwa na AI, sisi hatunaga muda wa kupamba mwandiko mkuu, ukitaka mwandiko mzuri kaangalie CV yako ya kuombea kazi pale Twiga cement kama mlinzi mwandamizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.