Recent content by MABELE

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hizi hesabu je majibu yake ni ya ukweli jamani?

    Hii ni chemsha bongo, na jinsi ya kupata jibu ni kama ifuatavyo: 2 + 3 = 5 ambayo inatakiwa kuzidisha na 2 na kupata 10 7 + 2 = 9 ambayo inatakiwa kuzidisha na 7 na kupata 63 8 + 4 = 12 ambayo inatakiwa kuzidisha na 8 na kupata 96 6 + 5 = 11 ambayo inatakiwa kuzidisha na 6 na kupata 66 Kwa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Waraka wa wazi juu ya Mahusiano ya Wakristo na Waislam kujenga amani ...

    Serikali ya Tanzania haina dini [maneno na msistizo wa hayati Baba wa Taifa, mwalimu Julius Nyerere-wakati wa uhai wake], bali watu wake wana haki ya kuwa na dini. Dini zisitugawe watanzania. Tusichanganye dini na siasa, na pia tusichanganye siasa na dini. Tatizo la udini limetokana na...
Back
Top Bottom