Acheni kila mhimili ufanye kazi yake,vyama vifanye kazi yao,serekali ifanye kazi yake na bunge ifanye kazi yake,kwa wale wenye uwezo mdogo wa kuelewa mambo wanaweza kuona mtu fulani anaweza kufanya yote yeye peke yake.
Ndugu zangu mnaosema Rais ni dikteta na ambao mnasema Rais siyo dikteta je mnajua sifa na tabia ya mtu ambaye ni dikteta? Na je sifa na tabia hizo rais anayo? Majibu ya maswali haya yatahalalisha au kubatilisha udikteta wa rais kazi kwenu wasomi wa nchi hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.