mimi naona ni bora hawa watu wanaotaka kuimbwa kwenye bendi kwa kutoa hela, watoe hizo hela zao kusaidia wasiojiweza au watoto yatima, kwani kuwa maarufu kwa kutajwa kwenye nyimbo sioni faida yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.