Sakayo moyo wangu nishahidi jamaa nilikua nampenda lkn ananikatisha tamaa...kipato changu cha kuunga unga lkn anaweza kuja kwangu nikampikia let say ugal akija anakataa kula anataka wali na ndan sina chakula inabidi nikanunua robo au nusu nimpikie hata kunionea huruma hapana nami nafanya sins...
Mi nilikua ninamchumba nadhani kesi zangu zilikua nyingi mno sasa baada ya kukaa nikawa ninampotezea kidogokidogo.
Desemba tukarudiana akanipeleka kwao akanitambulisha tulikaa siku 3 tukarudi mjini so kule kijijini wanajua kama tayari tunaishi pamoja imebaki kuhalalisha tu maana nilishangaa...
Sasa hapo nimekosea kipi??? Ndio hayupo dunian labda kama ungesema nielezee historia nzima ilikuaje ila aliniacha na Alifia mikononi mwangu nikiwa nae.....na nibaada ya wazazi kufatilia maana alitoa mpaka mahar na mambo yalifika hadi kanisan jaman ni story ndefu sana ....ila kifupi tu siwez...
Mi wanaume wamekua wakinitesa na kuniumiza kisaikolojia tu nimeona bora nikae mwenyewe tu
Nilipata mchumba mwaka 2013 akanitolea mahari badae akarudiana na ex wake na kuniacha na mimba... Nimekua na matukio ya kuachwa tu hivyo nimekuja kugundua sio makosa yao
Sina kitu cha kumvutia mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.