Yani watu walianza kusema watu wasivae sare lakini tumeona wagombea na team zao wamejivalisha lakini chochote anachofanya lowasa tayari ni shidaa apa udhamini mnasema kampeni mbona mnashangaza Kama hujui kusoma angalia ata picha tu utaona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.