Ada ni laki Tisa na nusu kwa mwaka..nimeshalipa semester ya kwanza laki nne, semester ya pili ni 265,000 na semester ya 3 ni 285,000 Mungu akubariki ndugu yangu
Okay.. Naitwa Mariam nasson. Nipo Al-Haramain Teaching college. Hujui ni kwa kiasi gani nahitaji msaada that's why nikaweka hadharani mawasiliano Yangu ili kama mtu ana nia ya kunisaidia anipate na nimweleze zaidi
Habari wanajf. Naitwa Mariam ni mwanafunzi wa diploma ya ualimu wa msingi ktk Chuo kimoja hapa Dar,Niko mwaka wa 1 ndio tumeanza juzi tu..Maisha Yangu yamekua ya changamoto nyingi na mapito magumu sana lakini Mungu ni mwema mwaka huu nikapata mfadhili wa kunisomesha ualimu akawa amenilipia ada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.