hakika umeandika kitu kimenigusa sana hii kitu inawanyima haki vijana na kuwa toa imani na serikali yao kwani wanaamini serikali inayaona haya na inajua lakin inayafumbia macho kwani wanaoteseka huko ma-site sio watoto wao ni watoto wanaotoka katika familia za kawaida wakihangaika huku na huko...
😭😭kenya katuacha mbali sana GDP yake currently $108.+billion wakati Tanzania ina $79.+billion huoni kuna utofauti mkubwa . Per capital income ya mkenya ni $1808.+annually wakati Tz per capital income ni $1224.+ huoni utofauti mkubwa kuwa kenya katuacha
😭😭kenya katuacha mbali sana GDP yake currently $108.+billion wakati Tanzania ina $79.+billion huoni kuna utofauti mkubwa . Per capital income ya mkenya ni $1808.+annually wakati Tz per capital income ni $1224.+ huoni utofauti mkubwa kuwa kenya katuacha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.