Naombeni ushauri ninatatzo la kifua kubana, iko hivo kifua kilinibana ghafla tangu mwaka Jana, nashindwa kupumua vizr , na kichwa kinaniumwa muda mwingine nakua nayaona mapigo ya moyo unadunda nikiwa nimetulia.
Jaman nimefanya vipimo kwenye hospital kubwa kama vile bugando na mhimbili lakin...
Jaman hata Mimi naombeni ushauri ninatatzo la kifua kubana , iko hivo kifua kilinibana ghafla tangu mwaka Jana , lakin hospital nimeenda kuanzia bugando hata mhimbili , kila nikipim naambiwa sina tatzo ila navyoumwa ni hivi
Nikiamuka asubhi najisikia vzr kabisa kma sina tazo ila kadili muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.