Nimepata tatizo la kifua kubana na kichwa kuuma

Luvako1991

Member
Jul 27, 2021
14
6
Naombeni ushauri ninatatzo la kifua kubana, iko hivo kifua kilinibana ghafla tangu mwaka Jana, nashindwa kupumua vizr , na kichwa kinaniumwa muda mwingine nakua nayaona mapigo ya moyo unadunda nikiwa nimetulia.

Jaman nimefanya vipimo kwenye hospital kubwa kama vile bugando na mhimbili lakin tatzo halionekan tatzo lenyewe ni hivi nikiamuka asubuhi nakuwa najihisi kabisa nipo vizuri ila kadiri ya muda unayoenda nahisi kuchoka na kifua kubana zaidi nimefanya vipimo kama vile ECHO, ECG , CHOLESTROL , INHALATION OF LUNG CAPACITY , DAM , OGD , X RAYS LAKIN TAtzo halijaoneka daah yaan hi hali inanichanganya kweli
 
Mwarubaini ni chanjo ya ndimu,malimao na tangawizi.Chanjo hii imejaribiwa kwa muda mrefu na ni salama.
 
Embu fanya pia water therapy, kunywa maji kama dawa.

Maji ya uvugu vugu, lita moja saa kumi na moja alfajiri, moja saa tano asbuhi moja saa tisa mchana na maliza moja saa 12 jioni ni dawa nzuri kwa wanaosumbuliwa na vifua, hakikisha ni warm sio ya baridi.
 
Naombeni ushauri ninatatzo la kifua kubana, iko hivo kifua kilinibana ghafla tangu mwaka Jana, nashindwa kupumua vizr , na kichwa kinaniumwa muda mwingine nakua nayaona mapigo ya moyo unadunda nikiwa nimetulia.

Jaman nimefanya vipimo kwenye hospital kubwa kama vile bugando na mhimbili lakin tatzo halionekan tatzo lenyewe ni hivi nikiamuka asubuhi nakuwa najihisi kabisa nipo vizuri ila kadiri ya muda unayoenda nahisi kuchoka na kifua kubana zaidi nimefanya vipimo kama vile ECHO, ECG , CHOLESTROL , INHALATION OF LUNG CAPACITY , DAM , OGD , X RAYS LAKIN TAtzo halijaoneka daah yaan hi hali inanichanganya kweli
hizo ni dalili za pressure umepima pressure
?
 
Naombeni ushauri ninatatzo la kifua kubana, iko hivo kifua kilinibana ghafla tangu mwaka Jana, nashindwa kupumua vizr , na kichwa kinaniumwa muda mwingine nakua nayaona mapigo ya moyo unadunda nikiwa nimetulia.

Jaman nimefanya vipimo kwenye hospital kubwa kama vile bugando na mhimbili lakin tatzo halionekan tatzo lenyewe ni hivi nikiamuka asubuhi nakuwa najihisi kabisa nipo vizuri ila kadiri ya muda unayoenda nahisi kuchoka na kifua kubana zaidi nimefanya vipimo kama vile ECHO, ECG , CHOLESTROL , INHALATION OF LUNG CAPACITY , DAM , OGD , X RAYS LAKIN TAtzo halijaoneka daah yaan hi hali inanichanganya kweli
punguza uzito piga tiz,,,yaani hiyo ni pressure
 
Naombeni ushauri ninatatzo la kifua kubana, iko hivo kifua kilinibana ghafla tangu mwaka Jana, nashindwa kupumua vizr , na kichwa kinaniumwa muda mwingine nakua nayaona mapigo ya moyo unadunda nikiwa nimetulia.

Jaman nimefanya vipimo kwenye hospital kubwa kama vile bugando na mhimbili lakin tatzo halionekan tatzo lenyewe ni hivi nikiamuka asubuhi nakuwa najihisi kabisa nipo vizuri ila kadiri ya muda unayoenda nahisi kuchoka na kifua kubana zaidi nimefanya vipimo kama vile ECHO, ECG , CHOLESTROL , INHALATION OF LUNG CAPACITY , DAM , OGD , X RAYS LAKIN TAtzo halijaoneka daah yaan hi hali inanichanganya kweli
Question
Maumivu ya kifua ni upande wa kushoto?
Maumivu ya kichwa yana ambatana na nausea/dizziness/poor vision?
Anyways have
Prinzmental Variant Angina
Migraine

Tumia
Amlodipine 2.5mg or Nifedipine 20mg
Isosorbide dinitrate 10mg

For migraine tumia
Ergotamine or Sumtriptan
Sodium valproate
 
Question
Maumivu ya kifua ni upande wa kushoto?
Maumivu ya kichwa yana ambatana na nausea/dizziness/poor vision?
Anyways have
Prinzmental Variant Angina
Migraine

Tumia
Amlodipine 2.5mg or Nifedipine 20mg
Isosorbide dinitrate 10mg

For migraine tumia
Ergotamine or Sumtriptan
Sodium valproate
Kifua kinabana tu na kichwa kinauma sehem za katikati kuhusu dizziness , poor vision na nausea cjapata hayo matatizo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom