Sehemu zote nilizotaja NIN, nilimaanisha namba ya NIDA kama wengi wanavyoitambua. Nimeeleza, kila mtu atajisajili kama mpiga kura kupitia simu kwa kuthibitisha namba yake ya nida. Namba 10 za mwanzo katika NIDA ni muhimu sana kutambua umri wa mpiga kura.
Mathalani mfumo unaweza kutambua watu...
Tanzania tuitakayo ni nchi inayoongoza katika demokrasia na utawala bora barani Afrika. Ni nchi ambayo kila raia ana sauti katika kuchagua viongozi wake na kuamua mustakabali wa taifa lake. Ili kufikia Tanzania hii tuitakayo, tunahitaji kuboresha mfumo wetu wa uchaguzi kwa kutumia teknolojia ya...
demokrasia
gharama za uchaguzi
maendeleo endelevu
siasa na maisha
tanzania tuitakayo
teknolojia ya uchaguzi
tume ya uchaguzi
ushiriki wa vijana katika siasa
ushiriki wa wanawake katika siasa
vyama vya siasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.