Recent content by Luqman Maloto

  1. L

    JamiiForums Tanzania Nashauri Paul Makonda awekwe karantini!

    JANA saa 6 mchana, takwimu za Covid-19 duniani zilikuwa hivi; Walioambukizwa ni 1,121,197. Vifo ni 59,401. Leo saa 12 asubuhi; kesi za maambuzi ni 1,202,435. Vifo ni 64,729. Hii ni kwa mujibu wa mtandao wa Worldometers. Hivyo, ndani ya saa 18, kesi za maambukizi mapya ni 81,238. Vifo vipya...
Back
Top Bottom