Tumepata taarifa wanafunzi wote wameruhusiwa kurudi majumbani kwao baada ya amri kutoka serikalini.
Kwa moyo wa dhati kabisa nalipongeza Jeshi la Polisi na Viongozi wote wa kiserikali kwa hatua za haraka walizochukua.
Huu ndio utendaji tunaoutaka Tanzania, Kwa hili sina budi pia kumpongeza...
Mzazi ni kama mdaiwa mwingine yeyote anayeweza kuchelewa malipo.
Kwa ulewa wako, Sheria zinasemaje mzazi/mdaiwa anapochelewesha ada/malipo ??..nchi inaongozwa kisheria.
Unawezaje kumhukumu mtoto kwa kosa la Mzazi ????
Upande mmoja unapochelewa kutekeleza majukumu yake, sio ruhusu kwa upande...
Upo sahihi kabisa mkuu,
Hakuna sheria inayo ruhusu uongozi wa shule kuwashikilia kwa nguvu watoto kwa namna yoyote ile.
Hata serikali haiwezi kufanya hivyo, iweje shule binafsi?? Kinachotakiwa ni kuwaruhu wenyewe wapambane na wazazi wao kisheria au kwa utaratibu mwingine usiowaathili watoto...
Wadau,
Kuna habari za uhakika kuwa wanafunzi wa kike zaidi ya 50 wa madalasa tofauti tofauti wa shule ya sekondari ya wasichana ya Kilaeni iliyopo Rombo Mashati, mkoani Kilimanjaro wamefungiwa ndani ya shule kwa nguvu wakati wengine wakienda likizo tangu tarehe 26/11/2016, huku wakilazimishwa...
Wadau,
Nakodisha Noah kwa shughuli za harusi,sherehe na safari mbalimbali (sio kwa daladala), ipo katika hali nzuri sana. Bei maelewano,
Tuwasilianie : 0675-205760
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.