Ni kwel kabixa lkn tatizo kubwa wanaume hawajishughulishi kutunza familia (wanamwachia mama jukumu hilo ndo maana wanakimbilia kwenye ngono kupata pesa za haraka) jambo ambalo hats waume zao wanaona kawaida tu so elimu itolewe kwa wanaume pia wajue majukumu yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.