Mtanzania kuwa makini na Hawa wezi wanaojiita AFRICELL CAPITAL INVESTIMENT wanasema wanafanya biashara ya kuwekeza hela na unalipwa 100% ya hela uliowekeza ndani ya siku 3, wanasema wamesajiliwa na BRELA, TCRA, na TRA, kumbe hizo nyaraka zao ni feki na pia wanasema makao makuu Ni mwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.