Ni wajinga tu ndio wanaamin ni km mskitini ni sehemu tu ya kuswalia baasi hskuna chengine cha kufanya mskitini,km wazanzibar wamribiwa kisiwa chao " fungu mbarak" basi kuna wapuuzi wanaita ni siasa ,hivi kudhulumiwa ukawafahamisha wenzako km mumedhulumiwa ni siasa? hii ni aina gani ya siasa...
Tupo ilala daresalam mtaa wa lindi na shauri moyo karibu na ofisi za TRA ilala, tunauza spare za magari used kutoka japan km Toyota nissan mistubish (GDI) suzuki na honda .. wasiliana nasi 0657617671 au 0773617671 au 0774442744 karibuni sana ..
Waliopo nje ya jiji la dareslam tunaweza...
Hatukatai nikweli tumeumia sana lipumba kufanya alichofanya na kafanyiwa tukikumbuka tulivokua nae kwenye mapambano, hata alipotaka kurudi cuf kua mwenyekiti Wengi tulifurahi natukaomba a rudi kwa kufuata sheria,lakin alipotaka kurudi kwa nguvu kinyume na utaratibu na kutuingizia wahuni akina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.