Jamani vijana humu tuko makini,nyie mliojibu ni wafuhaji?soma maelezo yangu,habari za kitulo nazijua sana na kwingineko pia,ndio maana niweka huo Ujumbe,
Mimi naishi Dar es salaam,
Ninaomba ushauri ni wapi naweza kupata ng'ombe bora wa maziwa ,
ng'ombe watakao weza kuendana na hali ya hewa ya Dar,wawe wenye sifa
ya kutoa maziwa mengi na bora,ningependa kununua ambao wana mimba ya
miezi saba hadi nane.
waweza kuwasiliana kwa namba ya simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.