Recent content by ludaga mdawagala

  1. ludaga mdawagala

    Ushauri: Nataka kuanzisha kiwanda kidogo cha kukoboa nafaka

    Nataka kufungua mashine za kusaga mizigo midogomidogo ya kuhudumia
  2. ludaga mdawagala

    Ushauri: Nataka kuanzisha kiwanda kidogo cha kukoboa nafaka

    Asante mkuu Mimi nataka kufungua machine ya kusaga na kukoboa kwa kutumia umeme pia nataka nifungulie tabora hivyo naomba ufafanuzi jinsi ya kupata:- 1.mota kwa bei nafuu 2.kinu cha kukoboa NA kusaga Ningependa xn kama ukinitajia na bei zake pia naomba kujua vinu vya sido na vinu vya dukani...
  3. ludaga mdawagala

    Ushauri: Nataka kuanzisha kiwanda kidogo cha kukoboa nafaka

    Habari Mimi ni kijana nataka mjasiliamali nataka kuanzisha kiwanda kidogo cha kukoboa nafaka kwa garama nafuu sana naomba ushauri bei ya mota pamoja bei ya kinu cha kukoboa na kusaga na kifaa vingine tafadhari
Back
Top Bottom