siku zote watu wakiona kuna mafanikio lzma wafufue ya nyuma,serikali ya MAGUFULI ipo makini sana kwa hilo tutashinda pia maana sio la wakati huu
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hawaangalii movie,movie nyingi za wenzetu haswa za kiintelejensia wanatumia philosophy message kuweza kufanikisha mambo yao na kama utakuwa sio mtambuzi hutoelewa kabisa kama huyo jamaa asivyoweza kuelewa maneno yaliyoandikwa kny log hiyo. Binafsi nimekuelewa vizuri sana, watu wengine...
Return Of Undertaker,
Umefanya vizuri kutuletea habari hii lkn Tanzania ilishatambua hili kitambo na ndio maana hakuna samaki kutoka china, ilishazuhiliwa kitambo.
Wamarekani ni takataka tu,tangu aingie trump hakuna Nchi inayoendeshwa kimabavu kama Marekani.Sasa nakutuma kamueleze huyo aliyekutuma watanzania wa sasa sio wale waliokuwa watumwa mwanzotunajitambua sana, watuachie uchaguzi wetu kama na sisi ambavyo atuwaingilii chaguzi zao.
Tumekuwa tukiwasikia viongozi wa Vyama vya Upinzani wakidai Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 uwe wa haki na huru. Sasa najaribu kutafakari, hawa vyama pinzani wataona uchaguzi wa 2020 kuwa upo huru na haki endapo watausimamia wenyewe?
Maana inafahamika sheria na taratibu za uchaguzi zilivyo na...
ivi umeelewa sababu alizotoa Rais au unakurupuka tu. Rais alishangazwa kufanyiwa makubaliano kitu ambacho bado hakijajadiliwa, yy hataki mikataba feki tena ina maana waliweka maslahi mbele hadi wakajisahau taratibu za nchi zinasemaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo huwa mnafanya kusudi ili muwapampu,bac mmenowa mtakuwa mnajifariji wenyewe kwa maneno yenu huku mambo yanasonga mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.