Recent content by Lucas Mwashambwa

  1. L

    Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali na kumuondoa msemaji mkuu wa serikali

    Kaa kwa kutulia dogo.kinachoangaliwa ni kuleta tija na ufanisi mahali pa kazi.pia Watanzania ni lazima tujuwe kuwa ukipewa kazi basi fanya kwa bidii na siyo kuleta mazoea kazini.
  2. L

    Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali na kumuondoa msemaji mkuu wa serikali

    Rais wetu mpendwa anajuwa nini anakifanya na kwanini anafanya hivyo.
  3. L

    Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali na kumuondoa msemaji mkuu wa serikali

    Ni kawaida katika kuimarisha utendaji kazi serikalini.
  4. L

    Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali na kumuondoa msemaji mkuu wa serikali

    Wala hunikatishi tamaa kwa maneno yako maana nitaendelea kumuunga mkono ,kwa kuwa ni kiongozi mchapa kazi na mzalendo kwa Taifa letu na ndio maana ya kuendelea kupata imani ya Mheshimiwa Rais
  5. L

    Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali na kumuondoa msemaji mkuu wa serikali

    Naona hata wewe mwenyewe kwa kinywa chako unaona kuwa Mheshimiwa Kafulila ni jembe kwelikweli na ndio maana umeamua hadi kumtaja.
  6. L

    Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali na kumuondoa msemaji mkuu wa serikali

    Ndugu zangu Watanzania, Habari ndio hiyo wenye kupata wamepata na wenye kuhamishwa wamehamishwa. Ila tu fahamu ya kuwa msemaji wa serikali wa sasa ameondolewa kwenye nafasi yake na atapangiwa kazi nyingine. Kazi iendelee mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa...
Back
Top Bottom