Recent content by Lucas Mwashambwa

  1. L

    JamiiForums Tanzania Well done wakili mbobevu Nassoro Katuga

    Anastahili Pongezi Kubwa sana na kutambuliwa kama Shujaa
  2. L

    JamiiForums Tanzania Waandishi wengi wa Habari wa Tanzania Hamna maana yoyote ile. Waoga

    Kwani nani kakuzuia wewe kuwa mwandishi wa habari?
  3. L

    JamiiForums Tanzania Tone tone ya Chadema imekwama? Na vipi ile ya CHAUMMA?

    CHADEMA wamegoma kuchukuliwa kama Manyumbu huku akina heche wakiendelea kunenepa Mashavu kwa pesa zao wenyewe wana CHADEMA
  4. L

    JamiiForums Tanzania Mwashambwa na Tlaatlaah wanachuki na Lissu wanatamani afungwe hata kama mahakama haitampata na hatia yoyote. Hii ni hatari sana!

    Huruma siyo Malezi. Hatuwezi kuacha mtu mmoja achochee Machafuko na vurugu Nchini kwa maslahi yake Binafsi. Embu niambie Familia ya Lissu ipo wapi? Watoto wa Lissu wana Uraia wa Nchi gani?
  5. L

    JamiiForums Tanzania Mwashambwa na Tlaatlaah wanachuki na Lissu wanatamani afungwe hata kama mahakama haitampata na hatia yoyote. Hii ni hatari sana!

    Naona mmebanwa Pumzi kwa hoja nzito. Lissu hapaswi kabisa kunusa Mitaani yeye anapaswa kuishi magerezani Maisha yake Yote yaliyosalia hapa Duniani
  6. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Wa Zamani Auwawa Kwa Risasi Zambia. Halafu Utasikia CHADEMA Wanasema Tanzania Hakuna Amani. Lini Mlisikia Waziri Akipigwa Risasi Tanzania?

    Sasa kwanini unaleta vitisho kwa Mtu Mzalendo kama mimi . Embu kaa kwa kutulia Bwana Mdogo
  7. L

    JamiiForums Tanzania Wakili Jonathan Mndeme, aliyesomeshwa na CHADEMA, aungana na Wasaliti

    Acha Unyumbu . Kwa hiyo Mlimsomesha ili aje awe nyumbu na kasuku . Kaa kwa kutulia maana Elimu aliyoipata ndio anaitumia na kuwafundisha maana ya haki na kuwatoeni ujinga mlionao wa kulea udikteta ndani ya chama na kufumbia macho uovu na uonezi
  8. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Wa Zamani Auwawa Kwa Risasi Zambia. Halafu Utasikia CHADEMA Wanasema Tanzania Hakuna Amani. Lini Mlisikia Waziri Akipigwa Risasi Tanzania?

    Nimekusamehe bure kabisa maana kuna uwezekano umejaa msongo wa Mawazo pamoja na matumizi ya madawa ya kulevya
Back
Top Bottom