Recent content by Lucas Mwashambwa

  1. L

    JamiiForums Tanzania Mwashambwa na tlaatlaah wanachuki na lisu wanatamani afungwe hata kama mahakama haitampata na hatia yoyote. Hii ni hatari sana.!

    Naona mmebanwa Pumzi kwa hoja nzito. Lissu hapaswi kabisa kunusa Mitaani yeye anapaswa kuishi magerezani Maisha yake Yote yaliyosalia hapa Duniani
  2. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Wa Zamani Auwawa Kwa Risasi Zambia. Halafu Utasikia CHADEMA Wanasema Tanzania Hakuna Amani. Lini Mlisikia Waziri Akipigwa Risasi Tanzania?

    Sasa kwanini unaleta vitisho kwa Mtu Mzalendo kama mimi . Embu kaa kwa kutulia Bwana Mdogo
  3. L

    JamiiForums Tanzania Wakili Jonathan Mndeme, aliyesomeshwa na CHADEMA, aungana na Wasaliti

    Acha Unyumbu . Kwa hiyo Mlimsomesha ili aje awe nyumbu na kasuku . Kaa kwa kutulia maana Elimu aliyoipata ndio anaitumia na kuwafundisha maana ya haki na kuwatoeni ujinga mlionao wa kulea udikteta ndani ya chama na kufumbia macho uovu na uonezi
  4. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Wa Zamani Auwawa Kwa Risasi Zambia. Halafu Utasikia CHADEMA Wanasema Tanzania Hakuna Amani. Lini Mlisikia Waziri Akipigwa Risasi Tanzania?

    Nimekusamehe bure kabisa maana kuna uwezekano umejaa msongo wa Mawazo pamoja na matumizi ya madawa ya kulevya
  5. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia afanya majadiliano na Bank kuu ya Dunia (WB)

    Akili za CHADEMA wanazijua wao wenyewe
Back
Top Bottom