Kaa kwa kutulia dogo.kinachoangaliwa ni kuleta tija na ufanisi mahali pa kazi.pia Watanzania ni lazima tujuwe kuwa ukipewa kazi basi fanya kwa bidii na siyo kuleta mazoea kazini.
Wala hunikatishi tamaa kwa maneno yako maana nitaendelea kumuunga mkono ,kwa kuwa ni kiongozi mchapa kazi na mzalendo kwa Taifa letu na ndio maana ya kuendelea kupata imani ya Mheshimiwa Rais
Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo wenye kupata wamepata na wenye kuhamishwa wamehamishwa.
Ila tu fahamu ya kuwa msemaji wa serikali wa sasa ameondolewa kwenye nafasi yake na atapangiwa kazi nyingine.
Kazi iendelee mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.