Recent content by Lucas Mwashambwa

  1. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Si Mlisema Lissu Ni Kama Nelson Mandera? Sasa Mnalialia Nini?Basi Acheni Afikishe Kwanza Miaka 27 Gerezani Kama Mandera.

    Endeleeni kujitekenya na kujichekesha wenyewe kama Mazuzu
  2. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Si Mlisema Lissu Ni Kama Nelson Mandera? Sasa Mnalialia Nini?Basi Acheni Afikishe Kwanza Miaka 27 Gerezani Kama Mandera.

    Nimekusamehe bure kabisa ndugu yangu Mtanzania na wala sina Kinyongo na wewe Maana kuna Uwezekano una Msongo wa Mawazo. Amani ya Bwana iwe Pamoja Nawe
  3. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Si Mlisema Lissu Ni Kama Nelson Mandera? Sasa Mnalialia Nini?Basi Acheni Afikishe Kwanza Miaka 27 Gerezani Kama Mandera.

    Waache Waje Watukane Maana ni Kama wana kiwanda cha kuzalisha na kuchakata Matusi
  4. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Si Mlisema Lissu Ni Kama Nelson Mandera? Sasa Mnalialia Nini?Basi Acheni Afikishe Kwanza Miaka 27 Gerezani Kama Mandera.

    Ndugu zangu Watanzania, CHADEMA ningewaomba mkae kwa utulivu na muache kulialia na kupiga makelele yenu Maana Mlisema Lissu ni kama Mandera. Hivyo Acheni Lissu naye akae miaka 27 kama ilivyokuwa kwa Nelson Mandela. Sasa hata Miaka mitano bado kuifikisha akiwa gerezani nyie tayari Mmeanza kutia...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Well done wakili mbobevu Nassoro Katuga

    Anastahili Pongezi Kubwa sana na kutambuliwa kama Shujaa
  6. L

    JamiiForums Tanzania Waandishi wengi wa Habari wa Tanzania Hamna maana yoyote ile. Waoga

    Kwani nani kakuzuia wewe kuwa mwandishi wa habari?
  7. L

    JamiiForums Tanzania Tone tone ya Chadema imekwama? Na vipi ile ya CHAUMMA?

    CHADEMA wamegoma kuchukuliwa kama Manyumbu huku akina heche wakiendelea kunenepa Mashavu kwa pesa zao wenyewe wana CHADEMA
  8. L

    JamiiForums Tanzania Mwashambwa na Tlaatlaah wanachuki na Lissu wanatamani afungwe hata kama mahakama haitampata na hatia yoyote. Hii ni hatari sana!

    Huruma siyo Malezi. Hatuwezi kuacha mtu mmoja achochee Machafuko na vurugu Nchini kwa maslahi yake Binafsi. Embu niambie Familia ya Lissu ipo wapi? Watoto wa Lissu wana Uraia wa Nchi gani?
  9. L

    JamiiForums Tanzania Mwashambwa na Tlaatlaah wanachuki na Lissu wanatamani afungwe hata kama mahakama haitampata na hatia yoyote. Hii ni hatari sana!

    Naona mmebanwa Pumzi kwa hoja nzito. Lissu hapaswi kabisa kunusa Mitaani yeye anapaswa kuishi magerezani Maisha yake Yote yaliyosalia hapa Duniani
  10. L

    JamiiForums Tanzania Waziri Wa Zamani Auwawa Kwa Risasi Zambia. Halafu Utasikia CHADEMA Wanasema Tanzania Hakuna Amani. Lini Mlisikia Waziri Akipigwa Risasi Tanzania?

    Sasa kwanini unaleta vitisho kwa Mtu Mzalendo kama mimi . Embu kaa kwa kutulia Bwana Mdogo
Back
Top Bottom