Acha Unyumbu . Kwa hiyo Mlimsomesha ili aje awe nyumbu na kasuku . Kaa kwa kutulia maana Elimu aliyoipata ndio anaitumia na kuwafundisha maana ya haki na kuwatoeni ujinga mlionao wa kulea udikteta ndani ya chama na kufumbia macho uovu na uonezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.