Recent content by Lucas Mwashambwa

  1. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Si Mlisema Lissu Ni Kama Nelson Mandera? Sasa Mnalialia Nini?Basi Acheni Afikishe Kwanza Miaka 27 Gerezani Kama Mandera.

    Mtajijua wenyewe . Hakuna kumlegezea Kamba . Ni hadi Ashike adabu
  2. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Si Mlisema Lissu Ni Kama Nelson Mandera? Sasa Mnalialia Nini?Basi Acheni Afikishe Kwanza Miaka 27 Gerezani Kama Mandera.

    CHADEMA Wamebakia kutukana Matusi Utafikiri Vichaa au wendawazimu
  3. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Si Mlisema Lissu Ni Kama Nelson Mandera? Sasa Mnalialia Nini?Basi Acheni Afikishe Kwanza Miaka 27 Gerezani Kama Mandera.

    Itafika wakati ataanza kububijikwa na machozi ya Majuto. Huruma siyo Malezi. Hakuna kumuonea huruma hapa
  4. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Si Mlisema Lissu Ni Kama Nelson Mandera? Sasa Mnalialia Nini?Basi Acheni Afikishe Kwanza Miaka 27 Gerezani Kama Mandera.

    Endeleeni kujitekenya na kujichekesha wenyewe kama Mazuzu
  5. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Si Mlisema Lissu Ni Kama Nelson Mandera? Sasa Mnalialia Nini?Basi Acheni Afikishe Kwanza Miaka 27 Gerezani Kama Mandera.

    Ndio mmefundishwa kujenga Hoja hivyo huko CHADEMA?
  6. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Si Mlisema Lissu Ni Kama Nelson Mandera? Sasa Mnalialia Nini?Basi Acheni Afikishe Kwanza Miaka 27 Gerezani Kama Mandera.

    Nimekusamehe bure kabisa ndugu yangu Mtanzania na wala sina Kinyongo na wewe Maana kuna Uwezekano una Msongo wa Mawazo. Amani ya Bwana iwe Pamoja Nawe
  7. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Si Mlisema Lissu Ni Kama Nelson Mandera? Sasa Mnalialia Nini?Basi Acheni Afikishe Kwanza Miaka 27 Gerezani Kama Mandera.

    Waache Waje Watukane Maana ni Kama wana kiwanda cha kuzalisha na kuchakata Matusi
  8. L

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Si Mlisema Lissu Ni Kama Nelson Mandera? Sasa Mnalialia Nini?Basi Acheni Afikishe Kwanza Miaka 27 Gerezani Kama Mandera.

    Ndugu zangu Watanzania, CHADEMA ningewaomba mkae kwa utulivu na muache kulialia na kupiga makelele yenu Maana Mlisema Lissu ni kama Mandera. Hivyo Acheni Lissu naye akae miaka 27 kama ilivyokuwa kwa Nelson Mandela. Sasa hata Miaka mitano bado kuifikisha akiwa gerezani nyie tayari Mmeanza kutia...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Well done wakili mbobevu Nassoro Katuga

    Anastahili Pongezi Kubwa sana na kutambuliwa kama Shujaa
  10. L

    JamiiForums Tanzania Waandishi wengi wa Habari wa Tanzania Hamna maana yoyote ile. Waoga

    Kwani nani kakuzuia wewe kuwa mwandishi wa habari?
  11. L

    JamiiForums Tanzania Tone tone ya Chadema imekwama? Na vipi ile ya CHAUMMA?

    CHADEMA wamegoma kuchukuliwa kama Manyumbu huku akina heche wakiendelea kunenepa Mashavu kwa pesa zao wenyewe wana CHADEMA
  12. L

    JamiiForums Tanzania Mwashambwa na Tlaatlaah wanachuki na Lissu wanatamani afungwe hata kama mahakama haitampata na hatia yoyote. Hii ni hatari sana!

    Huruma siyo Malezi. Hatuwezi kuacha mtu mmoja achochee Machafuko na vurugu Nchini kwa maslahi yake Binafsi. Embu niambie Familia ya Lissu ipo wapi? Watoto wa Lissu wana Uraia wa Nchi gani?
Back
Top Bottom