Ndugu zangu Watanzania,
CHADEMA ningewaomba mkae kwa utulivu na muache kulialia na kupiga makelele yenu Maana Mlisema Lissu ni kama Mandera. Hivyo Acheni Lissu naye akae miaka 27 kama ilivyokuwa kwa Nelson Mandela.
Sasa hata Miaka mitano bado kuifikisha akiwa gerezani nyie tayari Mmeanza kutia...
Huruma siyo Malezi. Hatuwezi kuacha mtu mmoja achochee Machafuko na vurugu Nchini kwa maslahi yake Binafsi.
Embu niambie Familia ya Lissu ipo wapi? Watoto wa Lissu wana Uraia wa Nchi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.