Nashukuru sana kwa jitihada hizi, kwani kuna rafiki yangu alinyanyaswa sana na huyu bosi mpaka kufikia kumfukuza kazi, kwanza alimuhamishia mkoa wa porini sana ambao hakuna anayekubaligi kwenda ( Mkoa fulani hivi wa Kusini mwa Tanzania ) Namatumaini kilio hiki kimewagusa wengi sana, tuendelee na...