MIRADI ILIYOTEKELEZWA KWA MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO TOKA 2010/2011, 2012/2013 NA 2013/2014.
S/NA
KATA
MRADI
GHARAMA TSH.
HALIHALISI YA UTEKELEZAJI
1
Kwembe
Ukarabati wa...
kile kijiji kimoja hatujafanya uchaguzi kipo Idandu sababu kuna kesi kati ya wananchi na serikali sababu wanasema kijiji hicho sio kijiji bali ni eneo ambalo amepewa mwekezaji.
MERERA nilifika hapo inapoiona gari inapita kwy tope ni njia tunatoka chita kuja MERERA ambapo njia ni mbovu balaa, na kiji tumeshinda na kiji cha MSITA nako tumeshinda.
tutaendelea kuigomea kwa kuwa katiba inayopendekezwa haina uhalali wa kisiasa na kiuadilifu. october mwaka tunakwenda kuing'oa ccm na katiba yao inayopendekezwa na baada ya hapo tutatumia rasimu ya walioba kutengeneza katiba yenye maslahi kwa umma.
ok, mchombe nilipiga mikutano mitatu, nayo ni mkangawalo, kijiji tumeshinda, njagi-kijiji tumeshinda na lukolongo- kijiji pia tumeshinda. ni vizuri kama umeweka nia hapo but naomba unicheki kwa namba 0784379542
Namshukuru m/mungu kwa kurejea salama, baada ya ziara ndefu katika jimbo la Kilombero kutoka tarehe 16/10/2014 hadi juzi tarehe 31/01/2015.
Lengo ya ziara ilikua ni kufanya mikutano ya hadhara katika kata zote 35 za jimbo la Kilombero ya kutoa elimu ya uchaguzi wa serikali ya mitaa, katiba...
TAARIFA KWA UMMA
OFISI YA MBUNGE- UBUNGO INAKARIBISHA MAONI YA WADAU JUU YA KUBORESHWA MUSWADA WA KUUNDA BARAZA LA VIJANA LA TAIFA.
Itakumbukwa Katika Mkutano wa 14 Kikao cha 15 tarehe 21 Disemba 2013 ulisomwa Bungeni Muswada Binafsi wa Mbunge wa Sheria ya Baraza la Vijana la Taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.