Kukua kwa sekta ya michezo nchini Hadi kufikia viwango Bora na vya kiushindani kimataifa inawezekana na hadi timu yetu ya taifa (Taifa stars) kushiriki kombe la dunia haitakuwa ndoto Bali itakuwa uhalisia na kawaida kushiriki michuano hiyo, hayo yote ili yaweze kufanikiwa yafuatayo Ni muhimu...
Kwa maono yangu Tanzania tuitakayo kuna baadhi ya vitu vinahitajika kuongezwa na vingine kuondolewa kwenye sekta ya Elimu. Mfano mitaala ya Elimu ya sasa haimuandai mwanafunzi muhitimu, kupata ujuzi ambao anaweza akauhamisha kutoka kwenye maandishi kwenda kwenye vitendo ili kutatua matatizo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.