Je, kwa mfano unakunywa pombe kwa nchi inayotegemea mapato yake kwenye pombe ni nchi au nini? Yaani zinatoka takwimu kuwa sijui TBL wameongoza kwa sijui nini. Leo mnawakakamata watu wanaokunywa pombe na hawajavunja sheria yeyote!
Je, mko sawa kweli nyie jeshi la polisi? Hivi mtu alielewa ni wa...
Mkuu Kuna vitu huwa havipo clear hata kwa waamini, je vipi kuhusu wasio waamini na wanaotaka kuhamia dhehebu flani?
Lengo la kuandika Uzi huu ni kupata mwanga kwa maswali yanayonitatiza ili hata wengine wenye shida Kama yangu wapate mwanga
Kwa mantiki iyo bado utakihesabu kuwa ni mkatoliki?
Hili ni jukwaa lenye watu tofauti tofauti wakiwemo hao viongozi wa makanisa.
Na isitoahe humu Kuna watu wenye uelewa mkubwa tu.
Kama huna uelewa huo wengine wenye kujua watajibu.
Habari za muda huu?
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Kulingana na mafundisho ya kanisa kuwa ndoa haitavunjwa labda kuwe Kuna sababu Kama..
1. Uliefunga nae ndoa ni ndugu yako.
2 .Ikionekana mwanaume ni 'imptontent'
Na mengine Kama yapo. Nje ya hapo ni hakuna talaka mpaka kifo au kwa...
Tuanze na Upendo. Kwa level ya kibinadamu: je ukimuadhibu mwanao aliyekosea kwa kutaka ajirekebishe baada ya kwenda kinyume na utaratibu uliomuwekea, je utakuwa unampenda au unamchukia?
Unazungumzia majanga gani? Je ni majanga asili(natural disasters)? Kwa hayo mwanadamu ndio msababishi mpaka disasters zinatokea kutokana na shughuli zake.
Viwanda vinaharibu mazingira kwa kiasi gani? Vipi global warming? Vipi kuhusu ukame, increase of sea level?
Je hayo yanafanywa na Mungu?
Haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.