Recent content by LorryR

  1. L

    Tathmini yangu baada ya uchaguzi mdogo Chalinze

    Wewe ni nani? Jitambue ndugu usifuate upepo!. Improve your idea, think big please! We sema tufanye nini sasa? Sio unathamini tu, what is your standing on this issue?
  2. L

    Warioba (1994): Tanzania na Hatma ya Muungano

    Watanganyika tusing'ang'anie muungano huu usioeleweka bora tuachane na tuitwe JAMHURI YA TANGANYIKA its better lakini kabla ya kutengana tulipe kwanza lile deni la taifa linaloitwa TANZANIA nusu kwa nusu kwa sababu tuliikopa tukiwa pamoja!. I NEED TANGANYIKA PLEASE!!!!
  3. L

    Kinachoendelea uchaguzi mdogo jimbo la kalenga kinafanana na lile la arumeru mashariki!.

    Wanajamvi habari za leo jmosi!.Ninachotarajia katika uchaguzi mdogo wa jimbo la kalenga linaweza likafanana na lile la uchaguzi mdogo uliofanyika arumeru hasa baada ya chama tawala kuendelea na tabia yao ya kutengeneza ukoo au undugu katika chama hicho kumbuka mgombea wa arumeru wa ccm kipindi...
  4. L

    Tumejipanga kutoa elimu ya uzalendo, kwa kutumia DVD

    Haya ni maajabu! Katika utawala wowote kuna mtu wa juu, wakati, hadi wa chini au wa mwisho, sasa ikitokea kutoheshimiana na kushirikiana kwa pamoja na kila mmoja kutaka awe wa juu ndo inakuwa hivi!. Lakini huyu jamaa kama ameikuta chadema ikamfaidisha bora angeendeleza faida au umaarufu wake kwa...
  5. L

    NYERERE ndiye aliyefanya makosa na anastahili kulaumiwa katika swala la muungano

    Ukimlaumu utapata nini? Ni bora useme namna ya kuuboresha muungano kuliko kumlaumu mtu aliye kwisha kamilisha safari yake!
  6. L

    Lowassa ndiye Waziri Mkuu wa Kwanza Mwenye Power ya kweli katika Historia ya Tanzania - William Malecela

    Hana lolote bora akaendeleze vizuri bussness yake ili uchumi wake upande! Mbona hata sumaye alikuwa na power!
Back
Top Bottom