Ila viongozi wetu wa chama pendwa wanatuaminisha hamna ubaguzi dhidi Wabara. Ya kwamba, wanaobaguliwa Zanziba ni wageni toka Komoro na Shelisheli. Hii nayo inachangnya sasa.
Ila viongozi wetu wa juu wa chama pendwa wanatuaminisha kuwa wanaobaguliwa sio Wabara bali ni wageni toka visiwa vya...
Muungano huu una shida moja kuu. Kwamba Tanganyika ilifichwa. Ikifichuliwa ikawa wazi ikapata utambulisho, basi mambo yataenda vizuri tu.
Wala hamna haja ya "heated debates about nothing" Ndiyo maana katiba mpya ikipatikana swala la Serikali 3 kuunda Muungano ni lazima. Natumai mmenielewa.
Wachina wamejitaidi ku project power na kuonesha vifaa vya modern warfare. Ila na amini, hawaja display kila kitu.
Kumbuka mataifa kama India ni adui yao mkubwa, na India pia alikuwepo kwenye hiyo display. But, China bado ana play catchup to the USA, kama baada ya miaka 3 hivi watakuwa ngoma droo.
Mleta mada haya mambo uliyoelezea yapo wazi kwa kila mmoja wetu kama riaha, viongozi wetu wengi uwezo wao ni mdogo sana hadi ina kera. Kinacho tuponza ni Katiba mbaya.
Tukibadili Katiba kama Wananchi walivyopendekeza kwenye Rasimu ya Mzee Warioba tutapata voingozi wazuri na imara, kwa sababu...
Mleta mada bora umeliona hilo, kwa kweli haya mambo ni fedhea kwa taifa letu pendwa. Yanatupaka matope. Natamani haya mambo ya watu kukosa uhuru wa kujieleza yafike ukomo wake.
Nchi yetu ifunguke iwe huru, Bila kuwa huru, hatutopata maendeleo ya kweli kama Taifa. Kwa sasa ushirikishwaji wa...
Russia ina nuclear war heads 7500, America ana 7000 kutunishiana misuli silaa za kivita wamekaribiana, ila kiuchumi Russia analingana na kajimbo kamoja tu ka USA.
Huyu ni Mhaya, kumbuka Wajita wametokana na Wahaya. Wajita wanawaita Wahaya babu zao. Na Wahaya wanawaita Wajita Wajukuu zao.
Ila anajiamini sana akashinda huko Dimani itakuwa amefungua Njia kwa Watanganyika wenginne.
Kwa Nchi yetu mambo yanvyokwenda Kisiasa, inawezekana maana naye si Mwanadamu. Ila itashusha hadhi ya Nchi yetu kama ikitokea hivyo!
Ana tuhuma Nyingi sana nyuma yake, alafu ameitwa na tume ya maadili zaidi ya mara 3 na akadharau. Sio kiongozi mwema!
Umeongea vyema natumai wengi humu JF, watakuelewa. TL ni mfano bora wa Mtu yeyote ku aspire kuwa kama yeye. Anajiamini, Anajitambua, Anaelewa kupigania haki yake popote inapoporwa.
Watanzania wengi, tungekuwa na hata robo ya ujasiri wa TAL, Nchi ingekuwa mbali sana kimaendeleo katika katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.