Recent content by LopoLopo

  1. LopoLopo

    JamiiForums Tanzania World Whistleblower Award: David Kafulila kiongozi pekee aliyewahi kupewa Tuzo ya Mtetezi wa Haki za Binadamu kwa mapambano yake dhidi ya ufisadi

    David Zacharia Kafulila alitambulishwa na TICD kwa Watanzania kama Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Center) nchini Tanzania. Ni mtaalamu mashuhuri wa Kitanzania mwenye uzoefu mpana katika utawala na usimamizi wa umma. Uzoefu wake mkubwa...
  2. LopoLopo

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Rais Samia ametoa Shilingi trilioni moja ili kuwakopesha wakulima kwa riba ya 9% zipo NMB na CRDB nia kukuza Kilimo walau kwa 8-10%

    Zote zinafanya kazi moja shida ya bank ya kilimo ni mtandao
  3. LopoLopo

    JamiiForums Tanzania Wasomi wa TIDC: Mafunzo ya David Kafulila yawe mwongozo wa mipango na mikakati ya Taifa

    Kafulila ni kichwa sana
  4. LopoLopo

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Rais Samia ametoa Shilingi trilioni moja ili kuwakopesha wakulima kwa riba ya 9% zipo NMB na CRDB nia kukuza Kilimo walau kwa 8-10%

    HUyu bwana ni kweli anajua vitu vizuri vinavyoweza kuifanya Tanzania kwenda mbele kiuchumi tumtumie zaidi.
  5. LopoLopo

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Utajiri wa taifa lolote duniani si vitu, ni ubora wa watu wake

    Serikali ipi hamna?
  6. LopoLopo

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Utajiri wa taifa lolote duniani si vitu, ni ubora wa watu wake

    Watu wakiwa bora watakuwa na magari yao
Back
Top Bottom