Ni kweli kuhusu hili ..
Na ndio maana kiingereza Ni vyema kikabaki Kama somo kwa maana hii haitatutupa mbali na wageni wetu . Ila kwakujenga uzarendo na mazingira rahisi ya kitaaluma ilifaa zaidi kiswahili kipewe nafac kubwa .
Mfano mzuri Ni kukifanya kiingereza kua somo compalsor Yani lenye...
Nashukuru kwa hoja yako na naoma niijibu Kama ifuatavyo
rebeca ok nashukuru kwa hoja yako na naomba nikujibu Kama ifuatavyo..
1. Tunapoamua kiingereza kianzie msingi Hadi secondary bado changamoto ataipata msomaji kwasababu awapo kwenye mazingira ya jamii yake itamuwia itamradhimu akae katika...
Kiswahili kiwe lugha ya kufundishia Shuleni .
Mfumo wa utoaji elimu ndio kitu pekee kitachopelekea elimu kupokelewa vizuri na wahusika katika mahala sahihi .
Jamii yetu ya Tanzania imetawaliwa na lugha ya Kiswahili na kwa upande wa pili ni kwamba Kiswahili kimeidhinishwa kuwa ni lugha ya taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.