Tulikua bado hatujafunga ndoa na
taraka niliitoa kutokana na sababu kama nilivyozieleza hapo ktk uzi wangu na utaratibu uliotumika katk kutoa taraka ni wakifamilia tu pande zote mbili na nilipomrejesha nilimwambia arudi tu tuwalee watoto kwani hari haikuwa nzuri ya malezi kimsing hawa watoto...
Kaka maisha ya wawili kunawakati unatakiwa ufanye kitu kwaajiri ya kumridhisha mwenzio tu na hapo ndio unaona hata family inaongezeka sio kwa mipango maalum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.