Moja ya kumbukizi ya mamboleo ni kuhakikisha unawapa na kutoa Sifa mathubuti Kwa watu weupe (shit) people hawa mara nyingi huwa ni wanasiasa wakiwemo kama Bashe WA zamani, Heche, Sugu, Shonza n.k maana ni wepesi kuongea mambo mazito walizani wamefundisha jamii Yao kumbe ni kusikiliza na kucheka...
Utamu WA Siasa ni kusahau matatizo yako Kwa kaulimbiu vya "Yanga Mbele kurudi nyuma mwiko" ukiangalia Siasa ya Tanzania utagundua kunatatizo la umoja wa kitaifa katika kutatua matatizo na hii inasababishwa na Sifa (Ndiyo maana ni Bora ungekuwa Uhuru wa BINTI MARINGO" kuliko Uchumi:.
Moja ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.