Habari wana Jf,kuna pikipiki naziona mtandaoni na zimenishawishi kutaka kuzinunua maana zinavutia,jee nahitaji kufahamu kwa wale wenye uzowefu nazo hizo pikipiki zinaitwa Vont tank 1 &2 zina cc 150 ila top speed yake mi 140 zinafanana na Honda ADV tatizo la Honda bei ni kubwa sana.
Wazoefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.