Recent content by lizy22

  1. lizy22

    Natafuta tiba za kuasili Tanzania, nimepatwa na makubwa huku

    Natafuta tiba za mganga wa kiasili Tanzania. Sina nguvu tena mwilini, ya kuenda chooni haja kubwa na ndogo. Nguvu za hedhi pia zimetolewa mwilini. Akili nasumbuka sana. Usiku hua nalala na nyoka. Jirani wangu anahusika pakubwa sana. Hata nguvu ya roho walitoa kabisa, hua inavutwa na kitovu...
  2. lizy22

    Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

    Walikua wananilazimisha sana kubadilisha dini kua mwislamu kisha ati nirudi Africa na kuolewa na mwafrica na kuzaa mtoto wa kiafrika, yaani hawa wanafanya balaa sio mchezo. Usiku ikifika wanakupiga macho inakaa kavu hadi asubuhi kisha mchana kutwaa usingizi inajaa kwa kichwa. Kitovo walinifunga...
  3. lizy22

    Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

    hicho kitaba kenyewe si mmeona sio ya mashetani
  4. lizy22

    Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

    Haya basi Kitabu unaweza kununua amazon.com unaitwa 72 Angels of magic
  5. lizy22

    Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

    Asantes sana kwa haya, nikiuliza Humor ni nini, nitumie chupa ya glass au plastic!
  6. lizy22

    Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

    Mimi wananisumbua sana na mambo ya kuingiliwa nyuma sio mchana sio usiku!
  7. lizy22

    Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

    Nitapatia link wakanunue kitabu, waingiliwe usiku na mchana kama wako na mapenzi wataelewana nao na pengine wafaidike pia kiuchumi!
  8. lizy22

    JF new members only

    ndio vipi kukutag huku
  9. lizy22

    JF new members only

    Nimeandika yote pengine hajasoma, ila mengi pia bado sijaelezea
  10. lizy22

    Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

    Nitaweka mkione wote, kwa ulimwengu wa kiroho unaweza kutumika vizuri ama kutumika vibaya, kumbuka spirits are spirits, wa mwanganza au giza. Inategemea sana vile unatumika kwao, kuna watu wanatumia ulimwengu wa giza na wanafaidika sana, bila matatizo...
  11. lizy22

    Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

    kufuate maelezo iliyoandikwa ndani, mara ya kwanza kwanza nilikua spat shida ila kwa sasa ndio mambo yanazidi kubadilika na kua mbaya zaidi!
  12. lizy22

    Nimepatwa na maajabu duniani baada ya kununua na kusoma kitabu fulani

    nitaweka hapa mkione wote bado naskia maoni yenu na kutafuta usaidizi
Back
Top Bottom