Recent content by lizlizy

  1. lizlizy

    Dark days 17/03/20

    Jamani taratibu basi wapendwa yoga anatuchora tu tunapolumbana [emoji14]katulia tuli. Yoga njoo basi mbona hivyo jamani tuna kiu ya hadithi wenzio[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
  2. lizlizy

    Dark days 17/03/20

    Woiii yoga let vitu
  3. lizlizy

    Dark days 17/03/20

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wajameni tupendane tu
  4. lizlizy

    Dark days 17/03/20

    Mmh kazi ipo tuendelee kusikia na kutazama mapicha picha ya wazito wa kampuni yetu.
  5. lizlizy

    Dark days 17/03/20

    So what kwani hii hadithi umeandikiwa wewe??tuache na yoga wetu[emoji2957][emoji1][emoji1]
  6. lizlizy

    Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

    Kaka Mshana Kuna Uzi Mshana darkday's ni wako Kama ni wako upo jukwaa gani?
  7. lizlizy

    Aliens inasemekana kuwasaidia sana jeshi la Marekani katika teknolojia ya silaha

    Hata katika vitabu vitakatifu hasa biblia inasema Kuna Dunia ambazo Kuna viumbe ambavyo havijaasi Kama Dunia yetu ilivyoasi kupitia anguko la ADAM NA HAWA hivyo uwezekano wa uwepo wa viumbe km Alliens upo.
  8. lizlizy

    Dark days 17/03/20

    Amazing
  9. lizlizy

    Dark days 17/03/20

    all to all Kila mtu na anavyoamini na Imani ndiyo spirit ya yule anaekiamini kile anachokiishi MIMI naamini kwa yeye aliye juu ya yote MUNGU aitwae YEHOVA. Kwani yeye mmiliki wa vyote, vijazavyo Dunia na akipenda hufanya atakalo hapangiwi liwe zuri au baya kwa yeyote,yoyote na chochote.
  10. lizlizy

    Dark days 17/03/20

    Na kampuni nyingi chini ya jua hutawaliwa na nguvu za gizani ktk ulimwengu wao na ndo mwanzo wa uovu mwingi kutokea na wao kujiamini hawez toka kwa kampuni na hutawala wapendavyo huku dhuluma,mauaji,udhalimu wa Kila aina kwa raia ukiongeza chuki dhidi yao lkn mwisho wa yote hawajabaki kuwa...
  11. lizlizy

    Dark days 17/03/20

    Fact
  12. lizlizy

    Dark days 17/03/20

    Exactly
  13. lizlizy

    Dark days 17/03/20

    Hakika hakuna kitakacho mshinda Mungu Giza na Nuru havichangamani na Nuru siku zote huangaza maovu ipo siku vya gizani vitakuwa hadharani hapo ndipo mwanzo wa utungu na Mungu ni mshindi mwisho wa siku.
  14. lizlizy

    Dark days 17/03/20

    Unadhani system ikikutaka una ujanja bs utapatikana tu some how Ila yote kwa yote ni Mungu tu aingilie kati[emoji22]
Back
Top Bottom