Mkuu, nina Kiwanja Makulu, Dodoma Mjini, kina ukubwa wa hatua 30 kwa 17,bei ni Tsh. 2,000,000 tu. Kipo tambarare na majirani wapo wameshajenga.
Wasiliana nami kwa namba 0786 294545
Karibu
Wanabodi
Nauza Kiwanja changu kilichopo Dodoma Mjini eneo la Makulu kwa bei ya kutupa kabisa (Ukiwa njiani kwenda Chuo Kikuu cha Dodoma)
Kina ukubwa wa Hatua 15 kwa 30 na kipo tambarale
Bei ni Tsh 1,600,000 tu
Mhitaji seriously anijulishe kwa namba 0786 294545
Karibuni
Heri ya Mwaka Mpya
Nauza Kiwanja changu kilichopo mkoani Dodoma mahali panaitwa MAKULU ukiwa njiani kwenda Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)
Ukubwa ni Hatua 30 kwa 20. Bei ni Milioni Mbili tu na maongezi yapo.
Mhitaji SERIOUS tafadhali atumie namba 0786 294545
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.