Sasa hapo serikali lazima ipate shida maana Issue ya dini ikishaingilia mambo nyeti kama haya ni hatari
Kama Kenya tu watu waliamua kufa na njaa kwa kumwamini mtu mmoja leo taasisi kubwa hii imeamua kutoa tamko la kutounga serikali unadhani hali itakuwaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.