Soma vizuri hayo MANENO alikuwa anaambiea na wazungu sio yeye amezungumza na yeye alikataa kama wewe unavyokataa ila wazungu walimsibitishia hvyo vitu.
Apana yupo flesh,soma vizuri labda ujaelewa yeye alikuwa ananisimulia yaliokuwa yanatokea Kati ya wao na wazungu kipindi hicho na sio yeye ndio kasema hayo maneno soma kwanza uelewe na tena na wao wazee wali panic kama ulivyo panic wewe kusikia hayo MANENO na bado kidogo kumpiga huyo mzungu!
Sawa Ayubu,lakini sisi watu weusi tunawasiliana katika mambo gani hapa duniani au katika maisha yetu yakawaida tu,na sio kufanya mambo makubwa kwenye ulimwengu na sisi tuwe na nguvu za kufanya mambo mengi makubwa ya kusaidia ulimwengu!
Kuna mzee wangu mmoja napenda kukaa nae mtaani kwangu kubadilishana mawazo yeye amezaliwa miaka ya nyuma kidogo na bahati nzuri amesoma sana na amefanikiwa kufundishwa na wazungu na kusoma vyuo vya nje na amefanyakazi na wazungu.
Mnamo miaka ya sabini alipokuwa anafanyakazi na wazungu,kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.