Hilo swali lko likifanyiwa uchunguzi wa namna upatikanaji wa tenda ulivyo fanyika aloooooh wataswekwa ndan watu hapo pili je wanavibali vya kuingiza hyo toilet fluids?km hawana wametoa wap?
K
Airtanzania wanatumia system ya crane kwenye kucheck in wafanye kuimodify iweze kutoa resit hapo hapo pili hyo system ni rahisi sana kupiga pili airline wasikae sehemu moja kwa muda mrefu wabadilishwe vituo vyao vya kazi tatu kufanyike ukaguzi wa kushtukiza kwenye ndge zao!
Iwe ypo kazini au amefukuzwa swali moja lamsingi ni kweli hzi hujuma zipo?Nas wana fanya handling kwa KLM,fly Dubai na Rwanda air je nazenyewe zinagongwa km Air Tanzania????km cyo 100%hzo nihujumaaa zisizo vumilika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.