Bwana Mtema wa Noti, kiukweli mimi kama mtaalam wa kilimo cha samaki nakwambia ya kwamba hilo eneo halifai kwa sababu chanzo chake cha maji si chauhakika na pia hufurika maji kipindi cha mafuriko inamaana kipindi cha mafuriko utakula hasara bure kutokana na kubomoka kwa kuta za mabwawa na pia...
Nawombeni wote wana JF kuwa makini na watu wengine ndani ya jamii forum ambao hudai kuwa na ujuzi ambao hawana. Tafadhalini kama kitu hauna ujuzi nacho usiwashauri watu kisichochema. Naitwa Lipoiye Abdul ni mtaalam wa samaki nilosomea toka chuo cha mbegani bagamoyo na napatikana Dar-es-salaam...
Naitwa Abdul Lipoiye, napatikana Dar-es salaam Tanzania.
Nimesomea utaalam wa ufugaji wa samaki, uzalishaji wa samaki, utengenezaji wa chakula cha samaki, ujenzi wa mabwawa, utunzaji wa samaki na mabwawa, utengenezaji wa mashine ndogo za usaji nafaka na utengenezaji pelete kwa ajili ya wakulima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.