Nilikuwa nakukubali lakini hili la kumtetea dr mwaka kisa una maslahi binafsi nimekushusha!
Kuchezea afya za watu si kitu cha kufanyia mzaha,mamlaka na dr mwaka watuweke wazi kama kuna uhalali otherwise sheria ichukue mkondo wake bila kujali umaarufu mjini!na dawa zake zimefanyiwa utafiti?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.