Ilikuwa Registered airmail kupitia POSTNL, I wonder kwanini imechukua muda mrefu, nimekuwa nikitumia Netherlands post for years haijawahi zidi siku 25. Japo seller pia alisababisha (processing time from 20 januaryto 8th february).
Kununua ni rahisi tu unahitaji kuwa na VISA/MASTERCARD iliyowezeshwa kufanya online payment (NBC,NMB,CRDB, EQUITY nk) utaenda benki watakujazisha form, pia hakikisha usalama wa kadi yako kwa kutumia paypal au websites zenye centralized payment system +Buyer protection policies. ila kuna baadhi...
Ni kweli ni Sera ya shirika la Afya duniani (WHO) kwa sasa, na imekuwa adopted na taifa letu pia. WHO ina malengo kuwa kufikia mwaka 2020 ,90% ya watu wawe wanafahamu hali yao ya maambukizi ya VVU, na kati ya hao 90% wawe wameshaanza matibabu ya ARV, na kati ya hao 90% dawa ziwasaidie kuimarisha...
Kuhusu gharama nitafanya uchunguzi nitatoa updates, nafahamu tu kwenda dar na hapa mkoani kama nilivosema hapo juu. Kuhusu idadi ya ndizi ni changamoto kidogo, huku wenyeji wamezoea kuhesabu kwa vichane (vipambo), labda wale wanao export kwenda zambia ndio hwa wanazitenga ndizi mojamoja. Idadi...
Kuja mikoa mingine sijajua changamoto zake, mimi nanunua na kuuza hapa hapa mbeya na nimeanza mwaka jana mwishoni.Siku za minada wilaya ya Rungwe maeneo ya kuanzia kiwira hadi tukuyu, kuna minada kama Lembuka, Ighembe,Ibabu huko ukienda unanunua kwa wakulima moja kwa moja mkungu 1 wa wastani...
Itafahamika tu, kuna watu hawataki ku invest kwenye foreign exchange,Index markets wao wanataka ku gamble wakidhani huku ni mlango wa uani, utaendelea kulia lia hivohivo kuwa unatapeliwa kumbe unajitapeli mwenyewe.Yo should cleary understand the risk and accept it, jielimishe kila siku, be...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.