Dah! Tuiweke makongo katika maombi, maake migogoro inaimaliza ile shule, na kiukweli inaendelea kubaki jina tu, kwa kweli hatakuimba wimbo washule ilikuwa inaniwia viguma" najivunia shule yangu Makongo..." alafu kuna ziro 200, sitoxahau nilipopigwa fimbo 15 asubuhi alafu ndo naingia kupiga paper...
Maprofesa wa Tz feki, kigezo cha chuo kuwa na maprofe ni kwa uneducated person, alafu muelewe mtoa mada alichotaka kuwaambia, sio kulinganisha UD na UDOM bali heka heka za UD kwa miaka ijayo kwa sababu ya competition that is all.
Maprofesa wa Tz feki, kigezo cha chuo kuwa na maprofe ni kwa uneducated person, alafu muelewe mtoa mada alichotaka kuwaambia, sio kulinganisha UD na UDOM bali heka heka za UD kwa miaka ijayo kwa sababu ya competition that is all.
Jamani mi ninamsubiria Ndalichoko, wala sisikilizi media, ila usajili wawatakao resit umeshaanza kabla ya matokeo kutoka, tembelea web ya necta utaona! Jinsi baraza walivyo viboksi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.