Recent content by Lio

  1. L

    JamiiForums Tanzania Heslb vifo

    Wabongo bhana ! Ni nouwa kwa kutunga na kuigiza
  2. L

    JamiiForums Tanzania wanafunzi wote wa kidato cha sita tuungane kwa tamko moja kupinga maamuzi ya jkt......awamu ya 3

    "HAKATWI MTU HAPA KWENDA JESHI" tusiongee tu tunakwenda kutekeleza
  3. L

    JamiiForums Tanzania JKT awamu ya tatu Septemba 28, 2013

    Duh! Hii ndo serekali yetu
  4. L

    JamiiForums Tanzania Makongo High School...!!!

    Dah! Tuiweke makongo katika maombi, maake migogoro inaimaliza ile shule, na kiukweli inaendelea kubaki jina tu, kwa kweli hatakuimba wimbo washule ilikuwa inaniwia viguma" najivunia shule yangu Makongo..." alafu kuna ziro 200, sitoxahau nilipopigwa fimbo 15 asubuhi alafu ndo naingia kupiga paper...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Wale wa mbeya university of science & technology (must) hapa

    Basi inakuwa pouwa wakubwa!
  6. L

    JamiiForums Tanzania Wale wa mbeya university of science & technology (must) hapa

    Kaka haujasikia dukuduku la kuhusu reporting day ya mwaka wa kwanza!
  7. L

    JamiiForums Tanzania Mbeya university of science and technology

    Jamani wakubwa, mwaka wa kwanza kuriport chuoni i mean MIST, uhakika ni lini, maake hawajaweka kwenye web yao!
  8. L

    JamiiForums Tanzania Kwa wale mnao enda kusomea UALIMU,someni hapa.

    Tukasome ualimu bhana hakuna kuogopa!
  9. L

    JamiiForums Tanzania Udom yainyima raha udsm, je kulikua na sababu ya haya yote? Jibu ni ndio.

    Maprofesa wa Tz feki, kigezo cha chuo kuwa na maprofe ni kwa uneducated person, alafu muelewe mtoa mada alichotaka kuwaambia, sio kulinganisha UD na UDOM bali heka heka za UD kwa miaka ijayo kwa sababu ya competition that is all.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Udom yainyima raha udsm, je kulikua na sababu ya haya yote? Jibu ni ndio.

    Maprofesa wa Tz feki, kigezo cha chuo kuwa na maprofe ni kwa uneducated person, alafu muelewe mtoa mada alichotaka kuwaambia, sio kulinganisha UD na UDOM bali heka heka za UD kwa miaka ijayo kwa sababu ya competition that is all.
  11. L

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya kidato cha sita 2013

    Jamani mi ninamsubiria Ndalichoko, wala sisikilizi media, ila usajili wawatakao resit umeshaanza kabla ya matokeo kutoka, tembelea web ya necta utaona! Jinsi baraza walivyo viboksi!
  12. L

    JamiiForums Tanzania Acsee 2013 results

    ndo kawaida yenu
Back
Top Bottom