Recent content by LINGWAMBA

  1. LINGWAMBA

    Naomba ufafanuzi kwenye hii Picha ya Kim Jong Un na Raisi wa Ukraine

    Kama akili yako imeamini hyo picha ni halisi basi kama una watoto wamepata hasara
  2. LINGWAMBA

    Je, F-16s za msaada kwa Ukraine zitabadili chochote?

    Ukisikia mikoa 5 unaweza kuhisi eneo dog lakini hayo maeneo yaliyochukuliwa ukubwa wake km uingereza,nchi ya kuishangaa ni Israel tu anashindwa kuithibiti Gaza yenye ukubwa km wilaya Moja TU ya Tanzania na anasaidiwa na super power wote wa Dunia.
  3. LINGWAMBA

    Putin atahadharisha ataingamiza NATO kwa WWIII au Nyuklia

    Kufunga Kinga ya makombora haikupi uhakika 100% kuwa makombora hayatopita maana Russians Wana mifumo Bora ya ulinzi na missiles zinapenya au Israel makombora ya Hezbollah yanapita mengine yanatunguliwa kwahyo usianzishe ugomvi ukafikiri kwako hakutoguswa sababu ya air defense.
  4. LINGWAMBA

    NATO itaiponza Ukraine. Leo wametangaza kupeleka ndege vita huko Ukraine

    Mbona hutaji sababu za Ukraine kuvamiwa kwamba kavunja mkataba walioingia na Russia Kwa kutegemea silaha za msaada zitamsaidia kwahyo anachezea mboko tu
  5. LINGWAMBA

    Mpaka sasa Israeli imeua nusu ya Makamanda wa Hezbollah huko Kusini mwa Lebanon

    Mnataja waliokufa wa Hezbollah hila wa kwenu wakifa hamsemi kimya kimya mnzika usiku
  6. LINGWAMBA

    Hezbollah yachoma tena Israel

    Hzo taarifa unazotaka ww ukiangalia BBC,CNN kote unaziona hapa zinawekwa zile taarifa zinazofichwa tusizione maana wao wanaaminisha watu kuwa hawashambuliki na Kila shambulio wao wanasema wame intercept
  7. LINGWAMBA

    Russia amekichafua huko Kiev vilio na mayowe kila kona

    Hzo hospital za watoto zinakusikitisha za Ukraine za Palestine unashangilia
  8. LINGWAMBA

    Kipigo cha leoTayari Netanyahu katoa mlio

    IDF wamekufa wangapi maana wao israel hata gari imebebwa wanajeshi tupu ikipgwa kombora yote ikatekea utaambiwa kajeruhiwa mmoja tu wengine wote wazima
  9. LINGWAMBA

    Kipigo cha leoTayari Netanyahu katoa mlio

    Amka acha kuota saa hz usije uka💩💩 eti wa ikalie Lebanon kama israel mwaka 2006 alitimuliwa maeneo aliyokuwa anayakalia ndani ya Lebanon Sasa hv ndio hawezi kabisaa maana ule uwezo was mapambano wa Hezbollah umeongezeka mara 1000
  10. LINGWAMBA

    Kipigo cha leoTayari Netanyahu katoa mlio

    Israel anaua watu wengi sababu anapga kwenye mikusanyiko ya raia lakini Hezbollah yy anashambulia Kambi za jeshi na anaua wanajeshi wengi tu hila Israel hawezi toa taarifa hzo lakini Hezbollah kashamwambia akipga raia wa Lebanon nao watapga raia ndio maana unaona Israel anajifikiri kufanya...
  11. LINGWAMBA

    Kipigo cha leoTayari Netanyahu katoa mlio

    Hizi ni habari za kimataifa ww unataka tujadili manzese humu
  12. LINGWAMBA

    Kuanzia wiki iliyopita pekee, wanajeshi 12 wa Israel waliuawa

    Na ukisikia 12 ww zidisha mara 5 yake ndio idadi halisi hawajawahi kutaja namba halisi
  13. LINGWAMBA

    TPDF malizieni kazi, M23 wamejikusanya karibu na nyumbani kwao Kanyabayonga na wapo Kama wote!

    Huna unalolijua unalopokwa tu km umekula💩💩 hao alshabab ungesema kdf maana ndio wanaingia kenya na kutoka wanavyotaka
  14. LINGWAMBA

    Wahuthi wazifikia meli zinazowakimbia.Waanza kupiga ndani ya bahari ya Mediteranean

    Sasa hv Kila mtu anajipgia tu baada ya kuona kumbe hakuna kitu anahangaika na mgambo miezi 7
  15. LINGWAMBA

    Yaliyojiri Mashariki ya kati

    Kwahyo malengo ya israel ilikua kudondosha maghorofa ya gaza au kuifuta hamas na kurudisha mateka wote nyumbani?maana malengo waliyoweka hayajafikiwa hata moja mmebaki kujisifia kugeuza kifusi maghorofa na huko north wanapoenda ndio wanaenda kuangamia km wameshindwa kuifuta hamas ambao...
Back
Top Bottom