Recent content by Lindiwe Sisulu

  1. Lindiwe Sisulu

    Lowassa apata wakati mgumu kwa wajumbe Kamati ya Mambo ya Nje

    Lusinde ndio nani huyo? Kwani Ikulu kuna kazi za kubeba mizigo? #TeziDume
  2. Lindiwe Sisulu

    Lowassa apata wakati mgumu kwa wajumbe Kamati ya Mambo ya Nje

    Nicodemus Tambo a.k.a Kimeta wa Mpui ni lini utaacha kutumika kijana!??
  3. Lindiwe Sisulu

    Lowassa apata wakati mgumu kwa wajumbe Kamati ya Mambo ya Nje

    Tuambie ni wapi walipolalamika?? Mbona mnaweweseka sana? #Nabado
  4. Lindiwe Sisulu

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Sasa ni dhahiri Watanzania wamepata njozi,Mungu amewaonyesha njia,na sasa kila kona ya Nchi ni mafuriko,si mafuriko ya maji,bali mafuriko yenye ujumbe unaosema 'tunataka Lowassa awe mrithi wa ANAYENG'ATUKA'full stop Na mimi kwa upande wangu nimeonyeshwa njozi kwamba Lowassa anakaribia kulivuka...
  5. Lindiwe Sisulu

    Hello JF Doctor: Nina tatizo la kukojoa mapema (kufika kileleni)

    Me ni kijana wa kiume. Naomba msaada wa kujua kwanini nakojoa mapema sana ninapokuwa kwenye tendo la ndoa? Maana hunichukua dakika 2 mpaka 3 kufika kileleni kwa bado la kwanza. Kwa bao la pili inanichukua dakika 5 mpaka 7. Sasa napenda kujua hili tatizo linasabishwa na nini na suluhisho lake...
  6. Lindiwe Sisulu

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Ila wewe ni Mchumia Masaburi??😀😀😀😀
  7. Lindiwe Sisulu

    Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

    Hello wana jamvi nawaombeni sana mnipatie CV's za Mteule wa Rais kwenye Wilaya wa Kinondoni Paul Makonda. Napenda kujua hasa pia maisha yake ndani na nje ya siasa.
  8. Lindiwe Sisulu

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Watanzania wengi wamekuwa wakinung'unika na kukata tamaa ndani ya Taifa lao wenyewe bila ya kupata majawabu. Sasa naomba niwaambie kuwa majawabu yao/yetu ni kwa Edward Lowassa kuwa Mkuu wa Nchi hii kama Rais. Ukuaji wa uchumi wa Taifa hili una muhitaji sana Lowassa maana akiwa Waziri OMR...
Back
Top Bottom