Umewahi jiuliza sababu za mikoa ya Kusini mwa Tanzania kuwa nyuma kimaendeleo?
Mawazo yangu nadhani ni kuwepo kwa wabunge mizigo wasiojali wananchi na maebdeleo ya mikoa ya Kusini.
inakuaje na yeye anapokea ushauri mbaya toka kwa wasaidizi wake nakuufanyia kazi basi mim nina wasiwasi kwamba yeye mwenyewe ana uwezo mdogo wa kuchambua mambo
Mimi nafikiri kwa uelewa wangu nikwamba serikali mpaka sasa haijaelewa nini kilio kikubwa cha watu wa mtwara kuhusu gesi, nakama serikali ina tambua fika madai ya watu wa Mtwara kuhusiana na suala la usafirishaji wa gesi kutoka Mtwara kuelekea Dar si dhani kama waziri wa nishati mr muhongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.