Mkuu Ccm wasipokuwa makini katika inaweza isipatikane kwa ubabe wao then ndo ikawa chanzo cha kuanguka kwa ccm.maoni ya wananchi yazingatiwe sisi tunataka Serikali Tatu ndo maoni yaliyotolewa na hivyo ni bora maoni yetu yaheshimiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.