Poleni na majukumu, naomba mnifikishie kero yangu kwa Wizara wanaohusika na Barabara.
Barabara ya Mwasanga Mbeya kutokea daraja la Tulia ni mbaya sana, kwanza ni barabara ya vumbi pia haina mitaro, tunateseka sana, na ukizingatia mvua zinazokuja kuanza Wananchi wa Mwasanga tutakosa pa kupita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.