Habari za Muda huu wapendwa, naomba kujua nitumie Nini kuponya jicho lililovimba na linauma pia, nimeamka tu asubuhi nimejikuta hivyo ila nahisi ni kutokana na vumbi la siku mbili tatu zilizopita.
Naomba anayejua tiba yake anisaidie, Asante.
Kama mtu yeyote anayefanya biashara ya umachinga stand ya mabasi ya Mbezi mwisho? Naomba kujua utaratibu upoje, muda mzuri wa kuanza umachinga ni saangapi?
Natanguliza shukrani. [emoji120]
Hzo packages za kuvunjika zinapatikana Alibaba au AliExpress, nyingine zinapatikana soko la kariakoo Dar, au pia unaweza ingia Facebook ukasearch vifungashio au packages watakuja wauzaji wote wa jumla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.